__
Uingereza imetangaza itasitisha karibu misaada yote kwa Rwanda kutokana na nchi hiyo kuhusishwa na mzozo wa mashariki mwa Congo ambapo uasi wa kundi la M23 umesabisha vifo vya maelfu ya watu na kuwaacha mamilioni bila ya makazi.
Jumatano, 26 Februari 2025 saa 10:00:22
Takribani wafungwa wa kiume 4,000 walitoroka. Lakini ni wachache kati ya wanawake walioweza kutoroka. Jumla ya wafungwa wa kike 132 na angalau watoto 25 waliteketea hadi kufa.
Jumatano, 26 Februari 2025 saa 07:59:48
Kufunga ni ibada, na kama ilivyo kwa ibada zote, kuna sheria fulani ambazo tunapaswa kuzifuata.
Jumatano, 26 Februari 2025 saa 04:15:08
Wataalamu walimueleza kuwa sababu ya changamoto hiyo ni kuwa hakuzingatia baadhi ya dawa muhimu katika kipindi cha ujauzito wake.
Jumatano, 26 Februari 2025 saa 05:47:20
Kundi hilo, ambalo sasa linajiita Sudan Founding Alliance, linadai linataka taifa hilo jipya liwe la kisekula, kidemokrasia, na la ugatuzi, lililojengwa juu ya "uhuru, usawa na haki."
Jumatano, 26 Februari 2025 saa 03:00:33
Real Madrid wanapanga kumsajili Jarrad Branthwaite, Napoli wako tayari kutoa ofa kwa Rasmus Hojlund, na Cole Palmer kuulizwa kuhusu mustakabali wake Chelsea.
Jumanne, 25 Februari 2025 saa 04:01:03
"Nilimtembelea Kizza Besigye kwenye selo yake, alikuwa amelala kwenye kitanda chumba kidogo ambacho kimechukua chumba kizima. Kulikuwa na milango sita au saba niliyopita mpaka kumfikia'.
__
Wanajeshi hao waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwa ajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.
Jumatatu, 24 Februari 2025 saa 04:47:05
Hospitali ya Gemelli imekuwa ikiwatibu mapapa kwa zaidi ya miaka thelathini
Jumanne, 25 Februari 2025 saa 13:45:12
Mwaka 2021, kulikuwa na takribani visa milioni 344 vya watu wenye ugonjwa huu duniani, ambapo milioni 2.1 kati ya visa hivyo, vilisababisha vifo.
Jumanne, 25 Februari 2025 saa 09:57:27
Waziri mmoja anasema kwamba "majadiliano yamekuwa yenye tija, huku karibu maelezo yote muhimu yakiwa yamekamilika."
Jumamosi, 22 Februari 2025 saa 09:13:14
Inafaa pia kuzingatia kwamba Watutsi wengi wa Congo hawaungi mkono vitendo vinavyofanywa na waasi kwa jina lao.
Jumatatu, 24 Februari 2025 saa 11:37:36
Uzalishaji wa collagen mwilini, kawaida hupungua kasi ya kuzeeka - iwe unailinda ngozi yako dhidi ya jua au la. Collagen imekuwa biashara kubwa.
Ijumaa, 21 Februari 2025 saa 03:37:21
Papa Francis, mwenye umri wa miaka 88 amekuwa akipitia maambukizi ya mfumo wa upumuaji kwa zaidi ya wiki moja.
'Tusaidieni': Vilio vya mamia ya wahamiaji waliotolewa Marekani na kushikiliwa katika hoteli ya Panama
Alhamisi, 20 Februari 2025 saa 12:54:03
Kati ya wahamiaji 299 wasio na hati za uraia, kutoka India, China, Uzbekistan, Iran, Vietnam, Uturuki, Nepal, Pakistan, Afghanistan na Sri Lanka, ni 171 pekee waliokubali kurejea katika nchi zao za asili.
Ijumaa, 21 Februari 2025 saa 09:54:57
Iran ina akiba kubwa zaidi ya mafuta duniani. Mapema 2024, ilikuwa ikisafirisha takribani mapipa milioni 1.8 kwa siku, kulingana na makadirio kutoka S&P Global, shirika la data.
Jumamosi, 22 Februari 2025 saa 10:44:57
Malcolm X aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa jukwaani kwenye ukumbi mmoja huko New York alipokuwa akijiandaa kutoa hotuba kwa Shirika lake la Afro-American Unity. Mke wake na watoto walikuwa kwenye hadhira.
Alhamisi, 20 Februari 2025 saa 02:53:57
Hatua kwa hatua katika Makaburi ya Manispaa ya Morogoro nchini Tanzania kumeshuhudiwa kaburi moja baada ya jingine yakiwa yameharibiwa.
Jumatano, 19 Februari 2025 saa 04:40:20
BBC yakutana na raia wa Goma na wakimbizi waliolazimishwa na M23 kuondoka katika kambi zao baada ya waasi hao kuuteka mji.
Jumanne, 18 Februari 2025 saa 10:46:44
Tangu kuanzishwa kwake mwaka wa 2012, shirika lisilo la kiserikali la Roots to Glory lenye makao yake huko Maryland, Marekani, limekaribisha mamia ya wasafiri kwa safari maalum za kutembelea nchi za Afrika Magharibi na Kati.
Ijumaa, 21 Februari 2025 saa 11:51:42
Mchanganyiko huu wa dawa haujaidhinishwa kutumiwa popote duniani na unaweza kusababisha matatizo ya kupumua na kifafa. Ukiitumia sana inaweza kukuua. Licha ya hatari hizo, dawa hizi za kulevya ni maarufu mitaani katika nchi nyingi za Afrika Magharibi
Jumamosi, 15 Februari 2025 saa 06:42:40
Licha ya Marekani kuruhusu misaada ya kiutu kuendelea kutolewa, huduma za kuokoa maisha zilizokuwa zikifadhidliwa na USAID hazijarejeshwa.
Jumanne, 25 Februari 2025 saa 06:14:37
Marekani ilisema Ukraine ilipoteza wanajeshi 400,000, huku Rais Zelensky awa Ukraine alinukuliwa akisema kwamba idadi ya waliouawa katika jeshi la Ukraine ilikuwa 45,100
Jumatatu, 24 Februari 2025 saa 09:32:44
Kufunga mirija ya uzazi inapendekezwa ifanywe na wanawake ambao wameamua hawataki kujifungua watoto siku zijazo, kwani kugeuza hali hii ni vigumu na mara nyingi haiwezekani.
Jumatano, 26 Februari 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumatano, 26 Februari 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 25 Februari 2025 saa 04:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 25 Februari 2025 saa 03:29:00
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Jumanne, 25 Februari 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Jumatatu, 24 Februari 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Ijumaa, 21 Februari 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Alhamisi, 20 Februari 2025 saa 16:29:30
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki